chuo cha utumishi wa umma tabora

chuo cha utumishi wa umma tabora
tpsc tabora

Alhamisi, 23 Novemba 2017

baadhi ya matukio yakwenye msiba wa raphael kadesha.

gari iliyo beba mwili wa marehemu 
mwili wa marehemu kuingizwa ukumbini kwa ajili ya kuagwa.




Ndugu Raphael kadesha Btcpa I amefaliki dunia siku ya jumanne 21/11/2017

Ndugu Raphael kadesha  Alikua akisoma chuo cha utumishi wa umma tabora mwaka wakwanza yaan NTA level 4 muhura wa kwanza. alikutwa amepoteza maisha yake kwa kujinyonga chumbani kwake kwa kutumia tai yake na kukigeuza kitanda chake na kufanya ndio ngazi ya kujinyongea mnamo tarehe 21/11/2017.ndugu yetu raphael kadesha nimkazi wa igunga ali pofika chuoni alibaatika kuwa mbunge wa darasa lake kwakuchaguliwa na wanafunzi wenzake kuliwakilisha darasa lake yaani btcpa 1

Alhamisi, 9 Novemba 2017

picha ya rais tapsso 2017 TPSC tabora Mh. Twaha Adam.

MH. RAIS AKITOA HOTUBA YAKE KWA MGENI RASMI AMBAE NI MKURUGENZI  WA CHUO CHA TPSC TABORA KWA SASA.
ILIKUA KATIKA SHEREHE YA KUWA KARIBISHA WANAFUNZI WAPYA NA KUWATAMBULISHA VIONGOZI WAPYA.  PAMOJA NA KUWAAPISHA. SHEREHE ILOFANYIKA KATIKA UKUMBI WA FANCTION HALL. SIKU YA IJUMAA YA TAREHE 20 MWEZI WA KUMI 2017. JUU YA KUMTAMBULISHA MKURUGENZI MPYA WA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA TAWI LA TABORA DR. MARIJANI. KWENYEPICHA NI MH.RAIS AKIAMBATANA NA MAKAMU WAKE PAMOJA NA MKURUGENZI WA TAWI AKIWA NA MENEJA MAFUNZO MADAM.RIGHTNESS OYUKE.

Jumatatu, 13 Machi 2017

YAHUSU MAHAFALI YA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA TABORA

Serikali ya wanafunzi tapsso kupitia katibu wa habari inapenda kuwatangazia kua kutakua na graduation tar 31 march 2017
Wanafunzi wote mnakaribishwa katika sherehe hizo!!!


by 
ANTRA KULLAYA
KATIBU HABARI

Alhamisi, 17 Novemba 2016

BAADHI YA PICHA ORIENTATION DAY


TAPSSO HABARI APPS

SASA UTAWEZA KUPATA HABARI, MATANGAZO  NA MATUKIO MBALIMBALI KUPITIA TAPSSO APPS AMBAYO IPO MBIONI KUKAMILIKA NA ITASAMBAZWA KWA WANAFUNZI WOTE WANAOTUMIA SMARTPHONE HIVI KARIBUNI

BY 
WAZIRI MKUU- TAPSSO

BEST WISHES

UONGOZI WA SERIKALI YA WANAFUNZI TAPSSO UNAPENDA KUWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WOTE WA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA TABORA

BY SERIKALI TAPSSO

Jumatatu, 4 Julai 2016

MATOKEO YA SEMESTER JAN- JUNE

Taarifa kwawanachuo wote ni kwamba sasa matokeo yanabandikwa chuo

tupo tabora kwa ajili ya kukuletea matokeo moja kwa moja kupitia chanzo cha habari serikali ya wanafunzi tapsso.

ASANTENI................

Jumatano, 4 Mei 2016

ALIYESADIKIKA KUWA MWIZI OBEY

OSTERBAY


SIKU YA TAR 29 APRIL KUNA MTU ALIYEKAMATWA OSTERBAY KWA KURUKA FENSI YA CHUO NA KUSADIKIKA KUWA NI MWIZI MTU HUYO BAADAE ALIPELEKWA POLISI KWA AJILI YA MASHTAKA WAWEZ KUONA VIDEO YAKE HAPA CHINI